UONGOZI WA KAMPUNI (ADMINISTRATION)

  • Mkutano mkuu wa wadau
  • Kamati ya usimamizi
  • Msimazi (Directeur Gérant)

HUDUMA ZETU

Tunayo yafanya

Miradi (Projects)

Mashamba ya Matunda na Miti, Usindikaji, Ufugaji wa Samaki na Kupunguza njaa.

Raslimali watu

Kampuni Itaendelea endapo kila mmoja wetu atajitolea kuchangia kipaji chake kwa moyo mzuri kwenye maedeleo ya kampuni.

Bidhaa (Products)

Bidhaa zetu ni Mahindi, Maharage, Unga, Matunda, Karanga, Miti, Juisi na Samaki.

Huduma (Services)

Tunafanya huduma ya Uchapishaji na ya kusambaza umeme katika viunga vya Fizi.

MALENGO YA MWAKA (2025)

Idadi ya Miti yamatunda kufikia mwaka 2025

50000

Avocat

20000

Michenza

20000

Michungwa

20000

Miembe

90000

Mikaratusi

Wafanyakazi na Ardhi kwa vyakula vingine

Idadi ya wafanyakazi na Hekali Kufikia 2025!
350
RASILIMALI WATU

48
HEKA ZA MAHINDI

10
HEKA ZA MAHARAGE

3.5
HEKA ZA VISIMA

Tunachokifanya!

Pamoja na kuwa na program nyingi za kilimo cha mda mrefu kama machungwa, chenza na embe lakini kampuni imeifanya parachichi (Avocat) kuwa kilimo chake cha kipau mbele kwa sababu zaidi za kibiashara, ki afya, kimazingira kwa kutengezea juisi na faida zingine ambazo zinaletwa na mmea huu.

SOMA ZAIDI
KUTUHUSU SISI
Ni kampun iya kibiashar aya kuzalisha bidhaa za kilimo na ufugaji ambayo iko
na makao yake makuu tarafani Fizi ndani ya mkoa wa Sud-kivu katika nchi ya Kongo-Kinshasa.
SOMA ZAIDI

Bidhaa Zetu


Miparachichi, Machungwa, Mihindi, Maharagi, Kalanga, Samaki, Asali, Kuku, Umeme n.k

Matuda, Juisi za matunda, Unga wa mahindi (dona na sembe), Karanga
(mafuta ya karanga), Maharage, Samaki, Asali, Kuku, Mayayi, Umeme na Uchapishaje.
SOMA ZAIDI

Kamati ya uongozi wa kampuni

Naibu meneja
Directeur Gérant
DPA
Afisa Uzalishaji Samaki!

Gallery

_________________

UKIHITAJI MENGI DOWNLOAD

FICHE D’INFORMATION YA KAMPUNI  (PDF)

++++++

 

kutana na Team Yetu

Kutana na nguvu ya nyuma ya mafanikio yetu

Timu ya SOFIJEP SARL! Kupitia juhudi na weledi wao tunaendelea kuleta

mabadiliko chanya katika uzalishaji wa kilimo na samaki.

Ekyoci Pendelelo
Meneja Mkuu (CEO)
Emile Kando
Uzalishaji Kilimo
Ibrahim W. Doris
Naibu Meneja
Msukuma Honore'
Uzalishaji Samaki
Ilelo A'ùmba Lely
Directeur Gérant
Baninge Allan
Social Media Management

Tanzama Baadhi ya Shughuli
tunazofanya

Miradi mbali mbali kama KIlimo, Unga, Mashamba na Madimbwi ya samaki

Watu wanasemaje Kutuhusu sisi

Hizi hapa Shuuda za Watu kuusu sisi na huduma zetu
"Naomba wafanyakazi wataoajiriwa na Kampuni hii, waongeze bidii kazini ili kuongeza ufanisi."
Maua Swed
"Uvunaji Samaki utasaidia wananchi juu ya kuboresha afya na Lishe kwa kuongeza matumizi ya Protini mwilini."
Bita Msafiri
"Tunaomba viongozi wa Serikali kutoa baraka zao bila unafiki siyo vikwazo kukwamisha miradi ya usambazaji umeme iliyokwisha kuanza."
Bems Allan
ADDRESS

DRC Congo, Kinshasa

Sud-kivu, Fizi.

Phone: + (243) 995878509

Phone: + 1 (203) 8873549

Email: info@sofijep.com